Kutoka 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba nitii sauti yake na kuwaruhusu Waisraeli waende zao?+ Simjui Yehova kamwe, na isitoshe, sitawaruhusu Waisraeli waende zao.”+ Zaburi 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+ Hosea 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Walitosheka na malisho yao,+Walitosheka moyo wao ukawa na kiburi. Na kwa hiyo wakanisahau.+
2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba nitii sauti yake na kuwaruhusu Waisraeli waende zao?+ Simjui Yehova kamwe, na isitoshe, sitawaruhusu Waisraeli waende zao.”+