Methali 13:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nuru ya waadilifu hung’aa kwa uangavu,*+Lakini taa ya waovu itazimwa.+ Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeyote anayemtukana baba yake na mama yake,Taa yake itazimwa giza litakapoingia.+ Methali 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana mtu yeyote mwovu hana wakati ujao;+Taa ya waovu itazimwa.+