Zaburi 73:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hakika unawaweka kwenye ardhi yenye utelezi.+ Unawafanya waanguke katika uharibifu wao.+ Zaburi 73:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Kwa kweli, wale wanaojitenga mbali nawe wataangamia. Utamwangamiza* kila mtu anayekuacha kwa upotovu.*+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu* ya mwadilifu itabarikiwa,+Lakini jina la mwovu litaoza.+
27 Kwa kweli, wale wanaojitenga mbali nawe wataangamia. Utamwangamiza* kila mtu anayekuacha kwa upotovu.*+