Zaburi 37:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+ Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini waovu wataangamia;+Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;Watatoweka kama moshi. Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe. Methali 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+
10 Bado muda mfupi tu, na watu waovu hawatakuwepo tena;+Utapaangalia mahali walipokuwa,Nao hawatakuwepo.+
20 Lakini waovu wataangamia;+Maadui wa Yehova watatoweka kama malisho bora kabisa;Watatoweka kama moshi.
23 Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha chini kwenye shimo lenye kina kabisa.+ Watu hao wenye hatia ya damu ambao ni wadanganyifu hawataishi nusu ya siku zao.+ Lakini mimi, nitakutumaini wewe.