11 “Nabii pamoja na kuhani wamechafuliwa.+
Hata katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata uovu wao,”+ asema Yehova.
12 “Basi kijia chao kitakuwa na utelezi na giza,+
Watasukumwa na kuanguka.
Kwa maana nitawaletea msiba
Katika mwaka wa kuwaadhibu,” asema Yehova.