Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Njia yao na iwe na giza na utelezi

      Malaika wa Yehova anapowafuatia.

       7 Kwa maana bila sababu wameficha wavu wa kunitega;

      Na bila sababu wamenichimbia shimo.

  • Yeremia 23:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Nabii pamoja na kuhani wamechafuliwa.*+

      Hata katika nyumba yangu mwenyewe nimeupata uovu wao,”+ asema Yehova.

      12 “Basi kijia chao kitakuwa na utelezi na giza,+

      Watasukumwa na kuanguka.

      Kwa maana nitawaletea msiba

      Katika mwaka wa kuwaadhibu,” asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki