Isaya 40:13, 14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ni nani ambaye ameipima* roho ya Yehova,Na ni nani anayeweza kumfundisha akiwa mshauri wake?+ 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+ Waroma 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* au ni nani amekuwa mshauri wake?”+ 1 Wakorintho 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.+
13 Ni nani ambaye ameipima* roho ya Yehova,Na ni nani anayeweza kumfundisha akiwa mshauri wake?+ 14 Alishauriana na nani ili apate uelewaji,Au ni nani anayemfundisha njia ya haki,Au kumfundisha ujuzi,Au kumwonyesha njia ya uelewaji wa kweli?+
16 Kwa maana “ni nani ameijua akili ya Yehova,* ndipo amfundishe?”+ Lakini sisi tunayo akili ya Kristo.+