Zaburi 22:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+Hajauficha uso wake kutoka kwake.+ Alipomlilia amsaidie, alisikia.+ Isaya 57:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana sitawapinga mileleWala kuwa na hasira daima;+Kwa sababu roho ya mwanadamu itadhoofika kwa sababu yangu,+Hata viumbe wanaopumua ambao niliwaumba.
24 Kwa maana hajadharau wala kuchukizwa na mateso ya yule anayekandamizwa;+Hajauficha uso wake kutoka kwake.+ Alipomlilia amsaidie, alisikia.+
16 Kwa maana sitawapinga mileleWala kuwa na hasira daima;+Kwa sababu roho ya mwanadamu itadhoofika kwa sababu yangu,+Hata viumbe wanaopumua ambao niliwaumba.