Zaburi 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mtu huyo wa hali ya chini aliita, na Yehova akasikia. Alimwokoa kutoka katika taabu zake zote.+ Zaburi 69:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Yehova anawasikiliza maskini,+Naye hatawadharau watu wake waliotekwa.+