Zaburi 10:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini utasikia ombi la wapole, Ee Yehova.+ Utaiimarisha mioyo yao+ na kuwasikiliza kwa makini.+ Zaburi 102:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ataisikiliza sala ya maskini;+Hataidharau sala yao.+ Isaya 66:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+
2 “Sasa mkono wangu mwenyewe uliumba vitu hivi vyote,Na vitu vyote vilikuja kuwapo kwa njia hiyo,” asema Yehova.+ “Basi, nitamtazama huyu,Yule aliye mnyenyekevu na aliyevunjika rohoni na anayelitetemekea* neno langu.+