-
Danieli 9:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Nilipokuwa bado nikiongea na kusali na kuungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Waisraeli na kuomba kibali mbele za Yehova Mungu wangu kuhusu mlima mtakatifu wa Mungu wangu,+ 21 naam, nilipokuwa bado nikisali, mwanamume Gabrieli,+ niliyekuwa nimemwona awali katika maono,+ alinijia nilipokuwa nimechoka kwelikweli karibu wakati ambao zawadi ya jioni hutolewa.
-