Zaburi 87:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 87 Msingi wa jiji lake uko katika milima mitakatifu.+ 2 Yehova anapenda malango ya Sayuni+Kuliko mahema yote ya Yakobo. Zekaria 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+
87 Msingi wa jiji lake uko katika milima mitakatifu.+ 2 Yehova anapenda malango ya Sayuni+Kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 “Yehova anasema hivi: ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa Yerusalemu;+ na Yerusalemu litaitwa jiji la ukweli,*+ na mlima wa Yehova wa majeshi utaitwa mlima mtakatifu.’”+