Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mungu si mwanadamu anayesema uwongo,+

      Wala si binadamu anayebadili nia yake.*+

      Akisema jambo, je, hatalitenda?

      Akinena jambo, je, hatalitimiza?+

  • Zaburi 135:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova hufanya kila jambo apendalo+

      Mbinguni na duniani, baharini na katika vilindi vyote.

  • Isaya 14:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Yehova wa majeshi ameapa hivi:

      “Kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyotukia,

      Na kama nilivyoamua, ndivyo itakavyotimia.

  • Isaya 46:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,

      Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+

      Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+

      Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki