Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya Yehova;Yeye huvichunguza vijia vyake vyote.+ Methali 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Macho ya Yehova yako kila mahali,Yakiwaangalia waovu na wema.+
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+ Kiti cha ufalme cha Yehova kiko mbinguni.+ Macho yake mwenyewe yanatazama, macho yake yaliyo makini* yanawachunguza wanadamu.+