Zaburi 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu. Zaburi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:4 w08 10/15 3-7 Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:4 Mnara wa Mlinzi,10/15/2008, kur. 3-7
4 Yehova yumo katika hekalu lake takatifu.+Yehova—kiti chake cha ufalme kiko mbinguni.+Macho yake yanaangalia, macho yake yanayong’aa yanawachunguza+ wana wa binadamu.