-
Mhubiri 8:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Ingawa huenda mwovu akatenda uovu mara mia moja na bado aishi kwa muda mrefu, hata hivyo ninajua kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu wa kweli, kwa sababu wanamwogopa.+ 13 Lakini mambo hayatamwendea vyema mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.
-