Ayubu 15:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hata awe safi,Au yeyote anayezaliwa na mwanamke ni nini hata awe mwadilifu?+ 15 Tazama! Hana imani na watakatifu wake,Na hata mbingu si safi machoni pake.+
14 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hata awe safi,Au yeyote anayezaliwa na mwanamke ni nini hata awe mwadilifu?+ 15 Tazama! Hana imani na watakatifu wake,Na hata mbingu si safi machoni pake.+