Ayubu 25:5, 6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hata mwezi si mwangavuNa nyota si safi machoni pake, 6 Sembuse mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni buu,Na binadamu ambaye ni mnyoo!” Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, Yehova akamwambia Elifazi Mtemani: “Hasira yangu inawaka dhidi yako na rafiki zako wawili,+ kwa sababu hamkusema ukweli kunihusu+ kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.
5 Hata mwezi si mwangavuNa nyota si safi machoni pake, 6 Sembuse mwanadamu anayeweza kufa ambaye ni buu,Na binadamu ambaye ni mnyoo!”
7 Baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, Yehova akamwambia Elifazi Mtemani: “Hasira yangu inawaka dhidi yako na rafiki zako wawili,+ kwa sababu hamkusema ukweli kunihusu+ kama alivyofanya mtumishi wangu Ayubu.