Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ndipo angekufunulia siri za hekima,

      Kwa maana hekima inayotumika ina vipengele vingi.

      Kisha ungetambua kwamba Mungu huruhusu baadhi ya makosa yako yasahauliwe.

  • Ayubu 15:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mwanadamu anayeweza kufa ni nini hata awe safi,

      Au yeyote anayezaliwa na mwanamke ni nini hata awe mwadilifu?+

      15 Tazama! Hana imani na watakatifu wake,

      Na hata mbingu si safi machoni pake.+

  • Ayubu 22:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Je, mwanadamu anaweza kuwa na faida kwa Mungu?

      Je, mtu yeyote mwenye ufahamu anaweza kuwa na faida kwake?+

       3 Je, Mweza-Yote anajali* kwamba wewe ni mwadilifu,

      Au je, anapata faida yoyote kwa sababu unafuata njia ya utimilifu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki