Ayubu 42:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu. Ayubu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 42:7 w98 5/1 30 Ayubu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 42:7 Igeni Imani Yao, makala 5 Mnara wa Mlinzi,5/1/1998, uku. 302/15/1995, kur. 27-28
7 Na ikawa baada ya Yehova kumwambia Ayubu maneno hayo, ndipo Yehova akamwambia Elifazi Mtemani:“Hasira yangu imewaka juu yako na rafiki zako wawili,+ kwa maana ninyi hamkusema mambo ya kweli+ kunihusu mimi kama mtumishi wangu Ayubu.