Zaburi 139:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko,Na kama ningetandika kitanda changu Kaburini,* tazama! ungekuwa huko.+ Waebrania 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+
8 Kama ningepanda mbinguni, ungekuwa huko,Na kama ningetandika kitanda changu Kaburini,* tazama! ungekuwa huko.+
13 Na hakuna kiumbe kilichofichwa machoni pake,+ bali vitu vyote viko uchi navyo vimefunuliwa wazi machoni pa yule ambaye tunapaswa kutoa hesabu kwake.+