Ayubu 10:18, 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi kwa nini ulinitoa katika tumbo la mama yangu?+ Laiti ningekufa kabla ya jicho lolote kuniona. 19 Ingekuwa kana kwamba sikuwahi kuwepo;Ningetolewa moja kwa moja tumboni na kupelekwa kaburini.’
18 Basi kwa nini ulinitoa katika tumbo la mama yangu?+ Laiti ningekufa kabla ya jicho lolote kuniona. 19 Ingekuwa kana kwamba sikuwahi kuwepo;Ningetolewa moja kwa moja tumboni na kupelekwa kaburini.’