Zaburi 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,Na nuru ya njia yangu.+
28 Kwa maana ni wewe unayeiwasha taa yangu, Ee Yehova,Mungu wangu ambaye hulifanya giza langu liangaze.+