13 Ndipo akaliitia jina la Yehova, aliyekuwa akizungumza naye: “Wewe ni Mungu anayeona,”+ kwa kuwa alisema: “Je, ni kweli kwamba nimemwona hapa yeye ambaye huniona?”
9 Kwa maana macho ya Yehova yanaenda huku na huku duniani kote+ ili adhihirishe nguvu zake* kwa niaba ya wale ambao moyo wao ni kamili* kumwelekea yeye.+ Umetenda kwa upumbavu katika jambo hili; kuanzia sasa na kuendelea kutakuwa na vita dhidi yako.”+
19 Wewe ni mkuu katika kutoa mashauri* na matendo yako ni yenye nguvu,+ wewe ambaye macho yako huchunguza njia zote za wanadamu,+ ili kumlipa kila mtu kulingana na njia zake na matendo yake.+