Kumbukumbu la Torati 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hutekeleza haki kwa ajili ya yatima na mjane+ na kumpenda mkaaji mgeni,+ humpa chakula na mavazi. Methali 28:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yeyote anayewapa maskini hatakosa chochote,+Lakini yule anayewafumbia macho atapata laana nyingi.