Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Ikiwa mtu ni mwadilifu na anatenda haki na uadilifu,

  • Ezekieli 18:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 hamtesi mtu yeyote,+ bali hurudisha rehani aliyopewa na mtu mwenye deni lake;+ hamnyang’anyi yeyote,+ bali humpa mwenye njaa chakula chake+ na kumfunika kwa vazi aliye uchi;+

  • Yakobo 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Namna ya ibada* iliyo safi na isiyo na unajisi kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki yao,+ na kuendelea kujitunza bila doa kutokana na ulimwengu.+

  • 1 Yohana 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini yeyote aliye na mali za ulimwengu huu akimwona ndugu yake akiwa na uhitaji naye akatae kumhurumia, anawezaje kuwa na upendo wa Mungu ndani yake?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki