Ayubu 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Anapobomoa kitu, hakiwezi kujengwa tena;+Alichofunga, hakuna mwanadamu anayeweza kukifungua. Ayubu 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ameziba kijia changu kwa ukuta wa mawe, siwezi kupita;Amezifunika njia zangu kwa giza.+