25 Ni jambo usiloweza kuwazia kumuua mwadilifu pamoja na mwovu hivi kwamba mtu mwadilifu apatwe na jambo lilelile linalompata mwovu!+ Ni jambo usiloweza kuwazia.+ Je, Mwamuzi wa dunia yote hatatenda jambo la haki?”+
7 Basi hofu ya Yehova na iwe juu yenu.+ Iweni waangalifu kuhusu mambo mnayotenda, kwa maana Yehova Mungu wetu hana ukosefu wa haki,+ hana ubaguzi,+ wala hapokei rushwa.”+