Zaburi 89:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+ Zaburi 97:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+ Zaburi 99:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo. Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana Mungu hana ubaguzi.+
14 Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chako cha ufalme;+Upendo mshikamanifu na uaminifu husimama mbele zako.+
4 Yeye ni mfalme hodari anayependa haki.+ Umeimarisha kabisa mambo manyoofu. Umetekeleza haki na uadilifu+ katika Yakobo.