Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 104:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika.

      Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+

  • Mhubiri 12:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+

  • Isaya 42:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Hivi ndivyo anavyosema Mungu wa kweli, Yehova,

      Muumba wa mbingu na Mkuu aliyezitandaza,+

      Yule aliyeitandaza dunia na mazao yake,+

      Yule anayewapa pumzi watu waliomo+

      Na kuwapa roho wale wanaotembea humo:+

  • Matendo 17:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 wala hatumikiwi kwa mikono ya binadamu kana kwamba anahitaji kitu chochote,+ kwa sababu yeye mwenyewe huwapa watu wote uhai na pumzi+ na vitu vyote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki