13 Ikiwa niliwanyima haki watumishi wangu wa kiume na wa kike
Walipokuwa na malalamiko dhidi yangu,
14 Nitafanya nini Mungu akinikabili?
Nitamjibu nini akinifanya niwajibike?+
15 Je, Yule aliyeniumba tumboni mwa mama yangu hakuwaumba wao pia?+
Je, si Ndiye aliyetuumba sisi kabla hatujazaliwa?+