Ayubu 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kuna Yule asiyewapendelea wakuuNa ambaye hawapendelei matajiri na kuwapuuza maskini,*+Kwa maana wote ni kazi ya mikono yake.+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+ Methali 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Matajiri na maskini wanafanana katika jambo hili:* Yehova aliwaumba wote.+ Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu?
19 Kuna Yule asiyewapendelea wakuuNa ambaye hawapendelei matajiri na kuwapuuza maskini,*+Kwa maana wote ni kazi ya mikono yake.+
31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu?