Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kuna Yule asiyewapendelea wakuu

      Na ambaye hawapendelei matajiri na kuwapuuza maskini,*+

      Kwa maana wote ni kazi ya mikono yake.+

  • Methali 14:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+

      Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+

  • Methali 22:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Matajiri na maskini wanafanana katika jambo hili:*

      Yehova aliwaumba wote.+

  • Malaki 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, hatukuumbwa na Mungu yuleyule? Basi kwa nini tunatendeana kwa hila,+ na kulitia unajisi agano la mababu zetu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki