Ayubu 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ayubu hufumbua kinywa chake wazi kwa ubatili;Huongea maneno mengi bila ujuzi.”+ Ayubu 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ni nani huyu anayepotosha mashauri yanguNa kuzungumza bila ujuzi?+ Ayubu 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ulisema, ‘Ni nani huyu anayepotosha mashauri yangu bila ujuzi?’+ Kwa hiyo nikazungumza, lakini sikuwa na uelewajiKuhusu mambo yanayonistaajabisha sana, ambayo siyajui.+
3 Ulisema, ‘Ni nani huyu anayepotosha mashauri yangu bila ujuzi?’+ Kwa hiyo nikazungumza, lakini sikuwa na uelewajiKuhusu mambo yanayonistaajabisha sana, ambayo siyajui.+