Ayubu 34:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ‘Ayubu anazungumza bila ujuzi,+Na maneno yake hayana ufahamu.’ Ayubu 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ni nani huyu anayepotosha mashauri yanguNa kuzungumza bila ujuzi?+