Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wakati wa mchana Yehova atanipa upendo wake mshikamanifu,

      Na usiku wimbo wake utakuwa pamoja nami—sala kwa Mungu wa uhai wangu.+

  • Zaburi 149:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Washikamanifu na washangilie kwa utukufu;

      Na wapaze sauti kwa shangwe vitandani mwao.+

  • Matendo 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki