Zaburi 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati wa mchana Yehova atanipa upendo wake mshikamanifu,Na usiku wimbo wake utakuwa pamoja nami—sala kwa Mungu wa uhai wangu.+ Zaburi 149:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Washikamanifu na washangilie kwa utukufu;Na wapaze sauti kwa shangwe vitandani mwao.+ Matendo 16:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.
8 Wakati wa mchana Yehova atanipa upendo wake mshikamanifu,Na usiku wimbo wake utakuwa pamoja nami—sala kwa Mungu wa uhai wangu.+
25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.