Zaburi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Waovu watageuka na kuelekea Kaburini,*Mataifa yote yanayomsahau Mungu. Zaburi 68:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wapeperushe mbali kama moshi unavyopeperushwa;Kama nta inavyoyeyuka karibu na moto,Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
2 Wapeperushe mbali kama moshi unavyopeperushwa;Kama nta inavyoyeyuka karibu na moto,Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+