Ayubu 34:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wanaweza kufa ghafla,+ katikati ya usiku;+Wanatikisika kwa nguvu na kufa;Hata wenye nguvu huondolewa, lakini si kwa mikono ya wanadamu.+ Zaburi 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hakuna mfalme anayeokolewa na jeshi kubwa;+Mtu hodari haokolewi na nguvu zake nyingi.+ Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+
20 Wanaweza kufa ghafla,+ katikati ya usiku;+Wanatikisika kwa nguvu na kufa;Hata wenye nguvu huondolewa, lakini si kwa mikono ya wanadamu.+
4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+