Ayubu 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo nisikilizeni, ninyi watu wenye uelewaji:* Mungu wa kweli hawezi kamwe kuwazia kutenda uovu,+Na Mweza-Yote hawezi kamwe kutenda kosa!+ Waroma 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu ana ukosefu wa haki? La hasha!+
10 Kwa hiyo nisikilizeni, ninyi watu wenye uelewaji:* Mungu wa kweli hawezi kamwe kuwazia kutenda uovu,+Na Mweza-Yote hawezi kamwe kutenda kosa!+