Zaburi 145:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yehova ni mkuu na anastahili kabisa kusifiwa;+Ukuu wake hauchunguziki.*+ Zaburi 148:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
13 Na walisifu jina la Yehova,Kwa maana jina lake peke yake liko juu sana lisiweze kufikiwa.+ Ukuu wake uko juu ya dunia na mbingu.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+