Ayubu 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, una mkono wenye nguvu kama mkono wa Mungu wa kweli,+Au je, sauti yako inaweza kunguruma kama yake?+ Zaburi 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sauti ya Yehova husikika juu ya maji;Mungu mtukufu hunguruma.+ Yehova yuko juu ya maji mengi.+ Zaburi 68:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Yule anayepanda mbingu ya kale kati ya mbingu.+ Tazama! Hunguruma kwa sauti yake, sauti yake yenye nguvu.
9 Je, una mkono wenye nguvu kama mkono wa Mungu wa kweli,+Au je, sauti yako inaweza kunguruma kama yake?+
33 Yule anayepanda mbingu ya kale kati ya mbingu.+ Tazama! Hunguruma kwa sauti yake, sauti yake yenye nguvu.