1 Samweli 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+ Zaburi 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.
10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+
13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.