-
1 Samweli 12:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Je, huu si wakati wa kuvuna ngano? Nitamwomba Yehova alete ngurumo na mvua; ndipo mtakapojua na kuelewa uovu mkubwa mliofanya machoni pa Yehova kwa kuomba mfalme awatawale.”+
18 Basi Samweli akamwomba Yehova, naye Yehova akaleta ngurumo na mvua siku hiyo, hivi kwamba watu wote wakamwogopa sana Yehova na pia Samweli.
-