1 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+ Hosea 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hasira nikawapa mfalme,+Nami nitamwondoa kwa ghadhabu.+
7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+