1 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+ 1 Samweli 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa huyu ndiye mfalme mliyemchagua, mliyeomba. Tazameni! Yehova amemweka mfalme awatawale.+
7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+