Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 8:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini Gideoni akawaambia, “Mimi sitawatawala, wala mwanangu. Yehova ndiye atakayewatawala.”+

  • 1 Samweli 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini leo mmemkataa Mungu wenu+ aliyekuwa Mwokozi wenu aliyewaokoa kutoka katika maovu yenu yote na taabu zenu, nanyi mlisema: “Hatutaki, unapaswa kumweka mfalme atutawale.” Sasa simameni mbele za Yehova kulingana na makabila yenu na kulingana na maelfu yenu.’”*

  • 1 Samweli 12:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mlipoona kwamba Nahashi,+ mfalme wa Waamoni amekuja kuwashambulia, mliniambia tena na tena, ‘Hatutaki, tumeazimia kuwa na mfalme wa kututawala!’+ hata ingawa Yehova Mungu wenu ndiye Mfalme wenu.+

  • Isaya 33:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+

      Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+

      Yehova ni Mfalme wetu;+

      Yeye Ndiye atakayetuokoa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki