Waamuzi 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini Gideoni akawaambia, “Mimi sitawatawala, wala mwanangu. Yehova ndiye atakayewatawala.”+ 1 Samweli 8:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+ Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+
7 Yehova akamwambia Samweli: “Sikiliza mambo yote ambayo watu wanakuambia; kwa maana hawajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.+
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi wetu,+Yehova ni Mpaji-sheria wetu,+Yehova ni Mfalme wetu;+Yeye Ndiye atakayetuokoa.+