Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 74:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mchana ni wako, na usiku pia. Uliumba nuru* na jua.+
5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.