Mwanzo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Mungu akasema: “Kuwe na nuru.” Basi kukawa na nuru.+ Mwanzo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza. Zaburi 136:7, 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Aliiumba ile mianga mikubwa,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele, 8 Jua litawale mchana,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,
5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
7 Aliiumba ile mianga mikubwa,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele, 8 Jua litawale mchana,+Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,