Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mungu akasema: “Kuwe na nuru.” Basi kukawa na nuru.+

  • Mwanzo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu akaiita nuru Mchana, lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

  • Zaburi 136:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Aliiumba ile mianga mikubwa,+

      Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

       8 Jua litawale mchana,+

      Kwa maana upendo wake mshikamanifu unadumu milele,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki