Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 33:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini umekosea kusema hivyo, kwa hiyo nitakujibu:

      Mungu ni mkuu sana kuliko mwanadamu anayeweza kufa.+

      13 Kwa nini unamlaumu Yeye?+

      Je, ni kwa sababu hakujibu hoja zako zote?+

  • Isaya 45:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ole wake yule anayeshindana* na Muumba wake,*

      Kwa maana yeye ni kigae cha udongo tu

      Kati ya vigae vingine vya udongo vilivyo ardhini!

      Je, udongo unapaswa kumuuliza Mfinyanzi:* “Unatengeneza nini?”+

      Au kitu ulichokitengeneza kinapaswa kuuliza: “Yeye hana mikono”?*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki