Ayubu 33:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini umekosea kusema hivyo, kwa hiyo nitakujibu: Mungu ni mkuu sana kuliko mwanadamu anayeweza kufa.+ 13 Kwa nini unamlaumu Yeye?+ Je, ni kwa sababu hakujibu hoja zako zote?+ Isaya 45:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ole wake yule anayeshindana* na Muumba wake,*Kwa maana yeye ni kigae cha udongo tuKati ya vigae vingine vya udongo vilivyo ardhini! Je, udongo unapaswa kumuuliza Mfinyanzi:* “Unatengeneza nini?”+ Au kitu ulichokitengeneza kinapaswa kuuliza: “Yeye hana mikono”?*
12 Lakini umekosea kusema hivyo, kwa hiyo nitakujibu: Mungu ni mkuu sana kuliko mwanadamu anayeweza kufa.+ 13 Kwa nini unamlaumu Yeye?+ Je, ni kwa sababu hakujibu hoja zako zote?+
9 Ole wake yule anayeshindana* na Muumba wake,*Kwa maana yeye ni kigae cha udongo tuKati ya vigae vingine vya udongo vilivyo ardhini! Je, udongo unapaswa kumuuliza Mfinyanzi:* “Unatengeneza nini?”+ Au kitu ulichokitengeneza kinapaswa kuuliza: “Yeye hana mikono”?*