Ezra 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+ Zaburi 51:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+
6 Nikasema: “Ee Mungu wangu, ninaona aibu na haya kuuinua uso wangu kwako, Ee Mungu wangu, kwa sababu makosa yetu yameongezeka juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imerundamana mpaka mbinguni.+
17 Dhabihu zinazompendeza Mungu ni roho iliyovunjika;Moyo uliovunjika na kupondeka, Ee Mungu, hutaukataa.*+