Methali 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Maneno yanayosemwa bila kufikiri huchoma kama upanga,Lakini ulimi wa mwenye hekima huponya.+ Methali 25:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+
11 Kama matofaa ya dhahabu yaliyonakshiwa kwenye vyombo vya fedhaNdivyo lilivyo neno linalosemwa wakati unaofaa.+